Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.
TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.
Wasalaam, wanaJamii Wote
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.
TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.
Wasalaam, wanaJamii Wote
Hivi ingekuwaje? wanaJF kama kila tukiachana tunaenda Gazetini kuweka tangazo la rangi na ukurasa wa mbele kama hivi.
TANGAZO
Kuanzia leo tarehe.................., mimi ...................... natangazia umma rasmi ya kwamba uhusiano wangu na Bi/Bw................................. ndio umefikia mwisho.
Wasalaam, wanaJamii Wote