Tangazo hili halivutii, wahusika kuweni wabunifu zaidi tusitiane aibu kiasi hiki

MAFIE JR

Senior Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
117
Reaction score
92
Wadau, Tusaidiane kukosoa tangazo hili la biashara kwenye web page ya ATCL maana halijakaa poa linaonekana kama "uchafu" na linatia aibu kulinganisha na ndege yetu ilivyo nzuri ya kupendeza na kuvutia.....please wahusika kuweni creative zaidi hili tangazo halivutii kulitizama
 
Daaah aisee ...ina mana hawajaona wataaalam hata wa graphics and design ..hivi huyo alie design amesomea wap duuuh
 
Yaani tangazo na HIYO LOGO YA TWIGA IJAKAA KIMVUTO HATA KIDOGO TUNASHINDWA TAZAMA LOGO ZA MASHITIKA MENGINE YA NDEGE KAMA RWANDA,KENYA,ETHIOPIA NA MENGINE MENGI......NA HILI PIA WALITAZAME SINATATIZO NA TWIGA BALI BY THE WAY WALIVYO MCHORA
 
Litakuwa limetengenezwa kwa smartphone
 
Watu wanachezea kazi za watu, wanipe mimi hiyo tenda ya kudizain
 
Ila mm mwenyewe sioni Kama lina hadhi linafanana na Yale mabango ya vinyozi au saloon ya ushwazi!! Kwa biashara nyingine sawa lakin kwa Airline ya kuwakilisha nchi kwa kweli wamebugi mbona watanzania tunawabunifu kibao ambao wanaweza Fanya mambo makubwa inakuwaje hapa
 
Hapa kazi tu, hakuna kuremba!

Oneni 'pangaboi' zinavyokata mawingu! Muwapi mliokuwa mnazibeza?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

 
Yaani tangazo na HIYO LOGO YA TWIGA IJAKAA KIMVUTO HATA KIDOGO TUNASHINDWA TAZAMA LOGO ZA MASHITIKA MENGINE YA NDEGE KAMA RWANDA,KENYA,ETHIOPIA NA MENGINE MENGI......NA HILI PIA WALITAZAME SINATATIZO NA TWIGA BALI BY THE WAY WALIVYO MCHORA
Wanasema twiga alipata ajali ya bodaboda, kwa hiyo ni mlemavu hv sasa
 
Bora hata wangetumia haya maneno "The wings of Kilimanjaro"
 
Natumai una computer yako.
Dizain la kwako tupia humu.
Isije kuwa wajua kuclic jamii forum na kutype
 
Daaah aisee ...ina mana hawajaona wataaalam hata wa graphics and design ..hivi huyo alie design amesomea wap duuuh
Wamewaona mkuu ila sasa nani wa kuwalipa wakati tuko kwenye kampeni funga mkanda bana matumiz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…