Umeiyona?Wakuu nimeiyona hii barua mahali , je wakuu inaukweli? Kuna , mtu anafanya kazi tanzania bara na anataka kwenda kufanya kazi znz kumfata mwenza, je hili tangazo lina muhusu? Na anzie wapi?
🥸SIO KWELI
Kabisa ndoa za mbali zinashidaBora hata idadi ya wachepukaji ipungue mtaani maana unakuta mume yuko Kigoma mke yuko Lindi.
Hata maendeleo na family attachment inakua shida. Kugongewa na kuzalishwa watoto wasio wa ndoa. Nyuzi za kudai DNA test kutwa zinaongezeka JamiiForums