Tangazo kuhusu biashara ya miti

Tangazo kuhusu biashara ya miti

Ben bizzoh

Senior Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
121
Reaction score
5
Kuna shamba la miti ekari 9.5 lenye Hati miliki linalouzwa huku mafinga

Miti imebakiwa na miaka miwili 2 tayar kwa kuvuna mbao shamba eka moja kwa kawaida ni shilling mill 14 lakini hili linauzwa mill 7 tu kama unaweza nunua wahi sasa bahati hii uje uuze kwa bei ya juu
 
Back
Top Bottom