Tangazo kuhusu biashara ya miti

Ben bizzoh

Senior Member
Joined
Dec 28, 2013
Posts
121
Reaction score
5
Kuna shamba la miti ekari 9.5 lenye Hati miliki linalouzwa huku mafinga

Miti imebakiwa na miaka miwili 2 tayar kwa kuvuna mbao shamba eka moja kwa kawaida ni shilling mill 14 lakini hili linauzwa mill 7 tu kama unaweza nunua wahi sasa bahati hii uje uuze kwa bei ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…