zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
mwaka huu hakuna kula kitimoto wala mbege moshi wote tunakula joto ya jiwe hap darTANGAZO
Kutokana na ugumu wa maisha ya sasa, ukosefu wa dili, ugumu wa biashara, Ukali wa Rais mpya, kila familia moja ya Kichaga italazimika kutoa mwakilishi mmoja tu wa kwenda Moshi Mwezi ujao katika sherehe za Krismasi na Mwaka mpya. Tunasikitika kukosekana kwa mbwembwe tulizozoea kwa miaka nenda rudi
Imetolewa na
Mlezi wa wachaga mjini
Utabaki wewe tuu mjini....tumewekeza kwa kizazi had kizazi.wewe mpiga dili utabaki ila anayewajibika lazima tuende mndeni kwa vyovyote
nikope basi twende wote hahahhaUtabaki wewe tuu mjini....tumewekeza kwa kizazi had kizazi.wewe mpiga dili utabaki ila anayewajibika lazima tuende mndeni kwa vyovyote