Tangazo kwa wale wajasiriamali wa mikoani

Tangazo kwa wale wajasiriamali wa mikoani

daddys dota

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
66
Reaction score
4
Kwa wale wanaopenda kuanza kuifanya biashara ya nguo za mitumba au hata kwa wale ambao wanaendelea nayo,napenda kuwatangazia kwamba napokea order ya idadi ya nguo yoyote ile na tunakusafirishia mpaka mkoa uliopo,bei zetu ni nafuu kabisa,Pia kwa watakaohitaji nguo za special napokea order na kuwaandalia mzigo na kuwatumia.malipo yanafanyika kwa njia ya Mpesa,Tigo pesa na airteil money.Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0659965555.Tunapatikana Dar es salaam maeneo ya Savei-Mwenge.
 
Back
Top Bottom