kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Yeyote anaye jua uchawi naomba tukutane turoge hawa al hilal wafe goli nyingi apa kwa mkapa bila ivo kitatukuta kilicho wakuta wenzetu st- George kule kwao
Toka ni zaliwe sijawahi kuona timu ambayo inalazimisha matokeo kama hawa majama au ikiwezekana kabisa kwa jinsi wanavyo cheza hawa majama tusicheze short pass tuwachezee long pass tukipata tuna peleka kule kwa akina kisinda na Mayele
Maana wana speed kitawafanya wawe na uoga wa kupata kama walivyo kuwa wana panga leo
Toka ni zaliwe sijawahi kuona timu ambayo inalazimisha matokeo kama hawa majama au ikiwezekana kabisa kwa jinsi wanavyo cheza hawa majama tusicheze short pass tuwachezee long pass tukipata tuna peleka kule kwa akina kisinda na Mayele
Maana wana speed kitawafanya wawe na uoga wa kupata kama walivyo kuwa wana panga leo