Sasa mkuu asante sana maana nina vimeo vitatu pale engineering, na tangazo liko wapi? maana nimecheki website hamna kitukwa wale wa udsm tarehe rasmi kwa ajili ya suplimentary ni Tarehe 16/09/2013 na sio tarehe 23/09/2013 kama almanac-udsm inavyoonyesha, kwa hiyo ndugu zangu tujipange kwa mashambulizi ya kumuuangamiza adui suplimentary asije akabadilika kua carry over. Mungu atutangulie na kutuongoza.
kwa wale wa udsm tarehe rasmi kwa ajili ya suplimentary ni Tarehe 16/09/2013 na sio tarehe 23/09/2013 kama almanac-udsm inavyoonyesha, kwa hiyo ndugu zangu tujipange kwa mashambulizi ya kumuuangamiza adui suplimentary asije akabadilika kua carry over. Mungu atutangulie na kutuongoza.
Sasa mkuu asante sana maana nina vimeo vitatu pale engineering
Sup 3?Kweli UD yetu imeisha jamani!
Kwani hazinitoshi ?Sup 3?Kweli UD yetu imeisha jamani!
Sup 3?Kweli UD yetu imeisha jamani!
2nashukuru kwa taarfa kaka
Sup 3?Kweli UD yetu imeisha jamani!
Sup 3 kwa Engineering ni kidogo sana
unashangaa sup 3 kwa coet....mbona kawaida sana mi niliwahi pata sup 5 coet na nikachomoa zote na sasa nakula bata kitaa...ach ushamba
Kwani hazinitoshi ?
we ulitaka apate 6 au?
Sup 3 kwa Engineering ni kidogo sana