4 mkalimwaka wa ngapi?
Kama hukusoma water resourses, structural au electrical njoo ujiunge na mojawapo ya hizo ,sio mbaya ukawa na degree tofauti tofauti kama Luhanga
ulisoma koz gani ?Mheshimiwa tunarudi palepale!
Ina maana COET hamna aliyesoma kozi tajwa hapo juu akamaliza bila SUP?Kama wapo why not you?
Soma kwa bidii punguza mitoko isiyo na lzm na undeni vikundi na vyuo vingine kwa degree zinazolingana then mnabadilishana mawazo na materials;ndiyo sisi tulivyokuwa tunafanya!
AVerage ya 40% watu wanapata supp? ingekuwa 50% kama SUA & MUCCoBS ingekuwa ni hatari
Sup 3?Kweli UD yetu imeisha jamani!
Ndio kwanza unaingia form five ya chuo unayafahamu vipi? Subiri ukifika chuo utafahamu kwanini supp huwa zipo
Hahahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa akikua atajua tu hahahaahahah
Hahahahaahahahaaaaaaaaaaaaaa akikua atajua tu hahahaahahah
Acha ushabiki wewe mimi nasoma LL,M, masters ya law
.Kaka mawoso graduation yetu ya f6 2012 hawakuja kuzecha disko! Nilichukia vibayaa nikasema lazma niende n'gambo kucheda
Hahahahha Jf patam kweli yani watu wana vielelezo toshaMpigasuli when you say such words hakikisha comments na thread zako kama hizi umezifuta. Just sayin!!
.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/288437-ba-psm-muccobs.html
Kwani mtihani mmoja? think twice, aliyepata wastani wa 76 azania sec. na aliyepata wastani wa 76 arusha sec., je wana akili sawa?AVerage ya 40% watu wanapata supp? ingekuwa 50% kama SUA & MUCCoBS ingekuwa ni hatari
swali ni wamefanya kitu gani cha ajabu mkuu? hao wasio na supp hata moja? impact kwa jamii?, wana-patents, innovations, au chochote te tu au ni makaratasi tu ya chuo...?
Kwani mtihani mmoja? think twice, aliyepata wastani wa 76 azania sec. na aliyepata wastani wa 76 arusha sec., je wana akili sawa?
4 mkali
Safi even small is enoughAkili inapimwa kwa marks? think big!
kwani mtihani mmoja? Think twice, aliyepata wastani wa 76 azania sec. Na aliyepata wastani wa 76 arusha sec., je wana akili sawa?
Mpigasuli when you say such words hakikisha comments na thread zako kama hizi umezifuta. Just sayin!!
.
.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-forum/288437-ba-psm-muccobs.html