Yaani kila channel ya Bongo ninayofungulia halikai mbali, linarudiwa na kurudiwa, hivi hawa watu wana pesa kiasi gani?
namaanisha lile tangazo la hakatwi mtu hapa.
Yaani kila channel ya bongo nnayofungulia halikai mbali, linarudiwa na kurudiwa, hivi hawa watu wana pesa kiasi gani? I mean lile tangazo la HAKATWI MTU HAPA
Mtandao umenikaa kushoto huu, naona kama wakishamba flani hivi na vile wateja wake wengi ni wasukuma, ndo naishiwa nguvu kabisa, sijawahi kutamani kuwa mteja wa Airtel