Tangazo la Airtel na Mapenzi kwa watoto wetu!

Calnde

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2008
Posts
1,373
Reaction score
278
Mimi kuna matangazo nayapenda sana. Lipo la hili mtoto anaendesha ringi lake, linakanyangwa

na gari, kisha anajaribu kulinyoosha kwa kajiwe, mama anamwona, anamnunulia baiskeli! Mimi

linanigusa, linaonesha upendo mkubwa kwa watoto wetu! Unampenda mtoto mpaka anafurahi

mwenyewe!

Jamani tuwapende watoto wetu. Ni neema toka kwa Mungu!
 
Unajua sisi wengine tumekuwa birthday tumezikuta mjini tena baada ya kuanza kudate ndo bibie

anakomalia! Lakini kama tulikosa mapenzi sie ndio tupeleke kwa watoto wetu! Do what will

make them right! they will love you back. Utawajengea msingi hata kwenye ndoa zao many years

later
 
Hujapenda tangazo la sharo na balo?
Tigo wanaonesha jamaa anapigwa mpira ikulu na kufundisha wanawake kuwa na wanaume wawili
OTIS
 
Hujapenda tangazo la sharo na balo?
Tigo wanaonesha jamaa anapigwa mpira ikulu na kufundisha wanawake kuwa na wanaume wawili
OTIS

Aah.. Lile la jamaa aliyekosa date na demu kizembe?

Eti kisa kakimbia sana na kuchoka,hadi kushindwa kuongea.. Na yule bidada alikuwa yupo ready kusema naye ili mradi asione soo!
 
Hujapenda tangazo la sharo na balo?
Tigo wanaonesha jamaa anapigwa mpira ikulu na kufundisha wanawake kuwa na wanaume wawili
OTIS

TCRA,Tume ya maadili wanakenua meno tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…