Tangazo la Airtel

pantheraleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
692
Reaction score
880
Lile tangazo la bibi kiroboto kwenye hakatwi mtu hapa,ile body language inaashiria nini? Naona katanua miguu halafu mikono kailekeza sehemu za siri huku anasema hakatwi mtu hapa! Kazi kwenu wateja wa Airtel.
 
kuna demu kaja kunitembelea kavaa tishet imeandikwa hakatwi mtu hapa!
 
Lile tangazo la bibi kiroboto kwenye hakatwi mtu hapa,ile body language inaashiria nini? Naona katanua miguu halafu mikono kailekeza sehemu za siri huku anasema hakatwi mtu hapa! Kazi kwenu wateja wa Airtel.

Dah! Inavyoonekana unapenda n.g.o.n.o mshikaji au umemtamani bi kiro.....
 
Dah! Inavyoonekana unapenda n.g.o.n.o mshikaji au umemtamani bi kiro.....

JB na Steve Nyerere wao wanaelekeza kwenye t-shirt ila bibi Kiroboto yeye mmmh........
 
JB pekee amefanya vizuri katika tangazo lile lakini stive na bi kilo wamewekwa mbwembwe nyingi mpaka wameharibu.
 
JB pekee amefanya vizuri katika tangazo lile lakini stive na bi kilo wamewekwa mbwembwe nyingi mpaka wameharibu.

Wewe inaelekea una gari,umependa kutokana na jinsi kukufumbua macho jinsi mnavyochakachuliwa mafuta sheli.
 
anamaanisha hakeketwi mtu hapa na mangariba mkome kuwakata ving'amuzi watoto wa wenzenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…