kwanza f6 wengi wa sasa hata miaka 18 hawana, hawa wanawataka hawa wakawatwange chadema virungu na mabomu manake f6 wengi hawaelewi nn kinaendelea mtaani, wenyewe walichatakiwa kusema ni mtz yeyote mwenye hvyo vigezo aombe, eti wanasema wanataka wasomi, km wasomi mbona degree holders ni wengi na wanashinda hapa jf kutafuta kazi? au wanaogopa jf nzima tukienda huko watakosa watu wa kuwaamrisha kiholela kupiga watu mabomu