Pata Sukari; Mayai; Baiskeli; Kanga; Pilau; Wali; Kuku; Sambusa; Tairi za Trekta; Madaftari; Bia Aina Zote; Mbege; Petroli; Matunda; Nazi; Vitumbua; Mitumba Grade One; Supu ya Utumbo; Mabati; Vocha za Simu; Mtego wa Panya; Pembejeo; Makabati ya Nguo; Computer; Juice; Mbogamboga; Mahindi ya Kuchoma; Bajaji; Cementi; Leso; Vyumba vya Wageni na Vyuma Chakavu. KARIBUNI.
Wakumbuka yote haya kichwani? Au ulipiga picha? Au ni tamthiliya? Kuna wengine hatuamini amini ovyo simulizi.Pata Sukari; Mayai; Baiskeli; Kanga; Pilau; Wali; Kuku; Sambusa; Tairi za Trekta; Madaftari; Bia Aina Zote; Mbege; Petroli; Matunda; Nazi; Vitumbua; Mitumba Grade One; Supu ya Utumbo; Mabati; Vocha za Simu; Mtego wa Panya; Pembejeo; Makabati ya Nguo; Computer; Juice; Mbogamboga; Mahindi ya Kuchoma; Bajaji; Cementi; Leso; Vyumba vya Wageni na Vyuma Chakavu. KARIBUNI.
Aisee kuna Mangi mmoja kule Kiboroloni aliweka Tangazo hili katika Duka lake:
Imekaaje hii wadau?
Aisee kuna Mangi mmoja kule Kiboroloni aliweka Tangazo hili katika Duka lake:
Imekaaje hii wadau?
Hiyo mix...mhhhhh!
But on a positive note..mwenzetu huyu pamoja na kutokufuata kanuni za biashara anajaribu kupata kila mteja..hachagui cha market niche wala nini!
Good for him/her
Mkuu;
...Take it easy!