Tangazo la kazi: Anahitajika Afisa Masoko na Mauzo (marketing & sales) - Mwanza au Dar es Salaam

Tangazo la kazi: Anahitajika Afisa Masoko na Mauzo (marketing & sales) - Mwanza au Dar es Salaam

Masasati

New Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
3
Reaction score
3
Hello! Wana JF.
Anahitajika afisa masoko na mauzo kwa ajili ya biashara ya vifaa vya keki na upambaji wa keki. Maombi yapo wazi kwa jinsia zote ila wanawake watapewa kipaumbele. Tangazo kamili lipo kwenye attachment.

Tangazo la kazi.jpg
 
Tunajali usawa wa kijinsia lakini wanawake watapewa kipaumbele😂
 
Back
Top Bottom