Tangazo la kazi august 1, 2014 (kiswahili

Tangazo la kazi august 1, 2014 (kiswahili

Samba

Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
74
Reaction score
65
MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II (NYARAKA) – NAFASI 50

hapo juu ni title ya kazi lakini sijaelewa hiki ni cheo gani ( msaidizi wa kumbukumbu),
alafu mbna kazi zenyewe hazioneshi ni office gani au idara gani au wizara gani?
 
1.Uzi huu ulipaswa uuandike kwenye nafasi za kazi na tenda kule sio hapa kwenye utambulisho. 2.Hizo nafasi kule juu wameandika ni taasisi au idara gani zinaajiri tuliza akili soma kwa makini utajua hao watu wa Records wanahitajika wapi.Hata kusoma tangazo tu unashindwa Mamii.Ukifanikiwa leta mrejesho
 
Back
Top Bottom