Tangazo la kazi, Jina la mwajili kapuni!

Tangazo la kazi, Jina la mwajili kapuni!

Shadow

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2008
Posts
2,897
Reaction score
675
Kuna tangazo limetolewa na gazeti la leo kuhusu kazi kwenye independent government agency lakini jina limefichwa na sketchy details zimetolewa kuhusu hilo tangazo. Swali langu nini nia na madhumuni ya kuficha jina la huyo potential employer? je, dno style za kibongo bongo? naomba kueleweshwa.[Source: The Guardian dated 07/14/09]
 
Mzee sikuhizi kuna human resource agents anbao hufanyakazi ya kutafuta watu wanaofaa kwa kazi na wao kulipwa na kampuni husika,hivyo akikupa jina la kampuni siunaweza ukaaply mwenyewe.makampuni hayo ni kama rader recruitments,rupia,prospect africa na mengi mengineyo.
 
Mzee sikuhizi kuna human resource agents anbao hufanyakazi ya kutafuta watu wanaofaa kwa kazi na wao kulipwa na kampuni husika,hivyo akikupa jina la kampuni siunaweza ukaaply mwenyewe.makampuni hayo ni kama rader recruitments,rupia,prospect africa na mengi mengineyo.

Kama wanatumia employment agents sio sababu ya kutoweka la employer kwani unaweza juweka jina na employment process bado ikafanywa na employment agent
 
hi all,
is there anyone who can help with the format of salary increment. am a recent employee and i never come across with it before.
Msaada kwenye tuta
 
hi all,
is there anyone who can help with the format of salary increment. am a recent employee and i never come across with it before.
Msaada kwenye tuta

Kuwa wazi zaidi umeajiriwa wapi na kwa nafasi gani
 
hi all,
is there anyone who can help with the format of salary increment. am a recent employee and i never come across with it before.
Msaada kwenye tuta

Kila kampuni huwa na utaratibu wake kwenye masuala ya increment.Hakuna format moja ambayo unaweza kuiita msahafu.Kama kampuni uliopo ina utaratibu mzuri waweza kumuona meneja wako ama kuwasiliana moja kwa moja na kitengo cha rasilimali watu kwa msaada zaidi.
 
Umuhimu wa kuficha jina la agency ni ili kuondoa tabia ya watanzania ya kutumia magodfather. hivyo mtu unaaply on merit na siyo kwa mtazamo wa kindugu

Kuna tangazo limetolewa na gazeti la leo kuhusu kazi kwenye independent government agency lakini jina limefichwa na sketchy details zimetolewa kuhusu hilo tangazo. Swali langu nini nia na madhumuni ya kuficha jina la huyo potential employer? je, dno style za kibongo bongo? naomba kueleweshwa.[Source: The Guardian dated 07/14/09][/QUOTe
 
Kama wanatumia employment agents sio sababu ya kutoweka la employer kwani unaweza juweka jina na employment process bado ikafanywa na employment agent

Pia inawezekena ni employer waka anamtega.... kuwa makini hususani zile za job ID kwa hapa bongo sijui huko nje inakuwaje..
 
Kuna tangazo limetolewa na gazeti la leo kuhusu kazi kwenye independent government agency lakini jina limefichwa na sketchy details zimetolewa kuhusu hilo tangazo. Swali langu nini nia na madhumuni ya kuficha jina la huyo potential employer? je, dno style za kibongo bongo? naomba kueleweshwa.[Source: The Guardian dated 07/14/09]

Labda ni kazi za usalama wa taifa!!
 
Back
Top Bottom