Mercenary Army
JF-Expert Member
- Jun 2, 2017
- 276
- 641
Wakuu kuna tangazo nmelipata limetolewa na jeshi la zimamoto kupitia kamishna mkuu kuhusu mafunzo, je ni tangazo la kweli tuchangamkie fursa au ni matapeli? [emoji116][emoji116][emoji116]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,[emoji23][emoji23]nilishtuka mapema mkuu nilitaka uhakika kutoka kwenu tuUtapigwa
,[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani jeshi litumie gmail.com wakati kuna tanpol??
Nafikiri ni muda muafaka polisi cyber unit, kufanya yao.
Everyday is Saturday............................... 😎
[emoji23][emoji23][emoji23] nilishtuka mapema sana aseeKuna mtu katuma hayo Maombi ghafla anapigiwa simu anaambiwa atume ela kwenye Namba Simu elf 20,000 kwa ajili ya kupata fomu jamaa akashtuka Kama hawa ni wezi .
[emoji109][emoji109]Mwombaji awe tayari kuhudhuri.....badala ya kuhudhuria Spelling errors kama hizi nakuambia ndugu yangu hapo hakuna kazi [emoji817] %