Mheshimiwa alitangaza shule mbili kwa ajili ya wanafunzi wa masomo ya sayansi na hisabati ili kuzalisha wanafunzi watakao jiunga na vyuo vikuu kusomea maswala ya gesi na mafuta, shule hizo ni zipi kwa majina?, na wameanza kupokea wanafunzi?. naomba anayejua anifahamishe tujenge elimu kupitia jamiiforums.