Tangazo la mnada wa hadhara - TRC

Kuna chuma cha pua TRC. Mataruma kujengea choo/ karo ni mkataba
 
TRC kutakuwa kusafi sasa, maana kulikuwa kama Dampo la Taifa.Mali hazitumiki wanazikalia mpaka zinakuwa kutu inawasaidia nini. KONGOLE alietoa wazo la kuuza hizo takataka zilizorundikana miaka na miaka.Msisahau nguzo za porini za zamani.

Muwashauri na TAZARA wauze takataka zisizotumika.Wenzetu wazungu wakiona kitu hakitumiki tena wanakitoa msaada Afrika sisi huwa tunarundika.

Serikali ingeuza vifaa mfu vyote ktk taasisi zake zote, zikawafie wananchi mbele.
 
TRC muweke vituo vya kukatia tiketi nyanda za juu kusini.Mfumo wenu hauleweki.
 
Kuna chuma cha pua TRC. Mataruma kujengea choo/ karo ni mkataba
Its a shame wanauza kipindi hiki sina hela. Nilikuwa nayahitaji sana kwa ajili ya kujengea slab kwenye kibanda changu cha ghorofa.
Any way, muda ukifika, ntaagiza kontena moja China kupitia Alibaba!
 
TRC muweke vituo vya kukatia tiketi nyanda za juu kusini.Mfumo wenu hauleweki.
TRC ni reli ya kati Mheshimiwa. Ni tofauti na hiyo ya TAZARA inayopatikana huko Nyanda za Juu Kusini.
 
TRC ni reli ya kati Mheshimiwa. Ni tofauti na hiyo ya TAZARA inayopatikana huko Nyanda za Juu Kusini.
TRC ilikuwa na ofisi kila mkoa.Kuweka ajent wa tiketi hakuna uhusiano na Tazara.Utoke iringa,Mbeya, Njombe nk af ufike Dodoma ndio ukate tiketi ?
 
TRC ilikuwa na ofisi kila mkoa.Kuweka ajent wa tiketi hakuna uhusiano na Tazara.Utoke iringa,Mbeya, Njombe nk af ufike Dodoma ndio ukate tiketi ?

Una habari unaweza kukata tiketi ukiwa kitandani kwako umelala?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…