Nyam
Senior Member
- Jul 9, 2012
- 134
- 72
Jamani wana jf ningependa kutangaza kwa mara ya mwisho kwa anayetegemea kuanzisha biashara ya Vinywaji kama Grocery,utapata kila kitu kwa 1.5mil only..
Hii inajumuisha Freezer, spika 2 za mziki, makret 5 ya bia pamoja na bia zake, viti ninavyo vya plastic12, meza za plastic zile ndogo 4 na kubwa saizi ya kati 2, kuna wine za st.Anna chupa 5, Dompo chupa 2, Konyagi kubwa chupa 3 ndogo chupa 5, Heineken, Grand malt zipo kama 12,Bavaria, viroba vya Konyagi, Valeur,Original, Kreti moja la soda tupu, Windhock zipo kama 5 hivi, Soda take away,Savana chupa kama 5 hivi, Maji ya Kilimanjaro na Uhai etc..
Nategemea kuacha biashara hii kutokana na kukosa muda wa kusimamia nataka nifanye biashara nyingine ndo mana nimeamua kuuza vitu vyangu kama vilivyo..
Kama kweli unahitaji, nipigie nipo Kinondoni tufanye biashara, na ukiwa na pesa tunafanya makabidhiano hapohapo unaondoka na vitu vyako. Nipigie namba 0776-880270 ntakusikiliza.
Hii inajumuisha Freezer, spika 2 za mziki, makret 5 ya bia pamoja na bia zake, viti ninavyo vya plastic12, meza za plastic zile ndogo 4 na kubwa saizi ya kati 2, kuna wine za st.Anna chupa 5, Dompo chupa 2, Konyagi kubwa chupa 3 ndogo chupa 5, Heineken, Grand malt zipo kama 12,Bavaria, viroba vya Konyagi, Valeur,Original, Kreti moja la soda tupu, Windhock zipo kama 5 hivi, Soda take away,Savana chupa kama 5 hivi, Maji ya Kilimanjaro na Uhai etc..
Nategemea kuacha biashara hii kutokana na kukosa muda wa kusimamia nataka nifanye biashara nyingine ndo mana nimeamua kuuza vitu vyangu kama vilivyo..
Kama kweli unahitaji, nipigie nipo Kinondoni tufanye biashara, na ukiwa na pesa tunafanya makabidhiano hapohapo unaondoka na vitu vyako. Nipigie namba 0776-880270 ntakusikiliza.