Matangazo ya mafunzo ya ualimu ngazi ya cheti ni kweli hutangazwa na wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, hasa baada ya uchaguzi wa wanafunzi wanaoenda kidato cha tano. Matangazo hayo tegemea mwezi huu wa tatu mwisho mwezi wa nne. Uliza vyuoni hasa kupitia mimi maana nipo chuo cha ualimu ngazi ya cheti namba yangu ni 0712614244. Thanks