Tangazo la pingamizi la ndoa kufungwa lazua balaa!!

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
5,606
Reaction score
7,032
Ndoa ilkuwa inafungwa kanisani; mara mchungaji akauliza waliohudhuria, "Kama kuna yeyote mwenye pingamizi la ndoa hii kufungwa aje mbele". Ghafla babu mmoja akasimama na kwenda mbele. Bibi harusi baada ya kumwona babu kasimama na kwenda mbele, akazimia. Mchungaji akamuuliza babu, "Haya mzee tuambie........". Babu akajibu, "Nimeamua kuja mbele kule nyuma nilikokuwa nimekaa sisikii vizuri"
Waumini/waliohudhuria wakajibu" Aaaaaaahh jamani Babuuuuu!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…