Tangazo la TRA kuhusu ukusanyaji mapato kwa wapangaji kuathiri sensa

Tangazo la TRA kuhusu ukusanyaji mapato kwa wapangaji kuathiri sensa

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,109
Tangazo la TRA kuwatumia wapangaji kukusanya kodi ya zuio kwenye upangaji wa nyumba linaweza kuathiri zoezi la sensa kwani upo uwezekano wa baadhi ya taarifa za umiliki wa ardhi, nyumba kufichwa kuogopa kulipa kodi stahiki.

Ni muhimu kwa taasisi kama TRA kukaa kimya kuliko kutoa matamko yanayoweza kuathiri zoezi la sensa ambalo ni muhimu sana Kwa Maendeleo ya taifa.
 
... linasemaje hilo tangazo la TRA?
 
Back
Top Bottom