kunze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 398
- 469
Hakika,kadri tunavyoelekea mwisho wa enzi za duniani,maisha yanazidi kuwa rahisi sana. Kwa sasa hivi hata wale wasioweza kutongoza vema,sasa wamebahatika kupata wenza.
Tangazo hilo hapo,linakuhusu wewe,Mimi na yuleeeee....tuhabarishane ili hawa wahusika wasiozee kwa wazazi wao.
Ishaallah
Tangazo hilo hapo,linakuhusu wewe,Mimi na yuleeeee....tuhabarishane ili hawa wahusika wasiozee kwa wazazi wao.
Ishaallah