Tangazo muhimu..

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Habar za jumapili wapendwa lengo la andiko hili ni kuwafahamisha ujumbe nilioupata toka kwa mh. mwakyembe waziri wa michezo kuwa anahitaji meche ya kirafiki kati ya timu ya bunge na wana jamiiforum.
Naomba kuwasirisha hoja wakuu
 
Wabunge wenyewe ni hawa waliopitisha Hizi sheria za kimakinikia? Endapo Tulia atacheza utanishtua nirudi hapa@
 
mkuu ila hela kukodi jezi mchango buku 5 kwa kila mchezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…