Tangazo: Mwalimu Mstaafu

Tangazo: Mwalimu Mstaafu

stev30sudi

Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
45
Reaction score
17
Tunafurahi kuwatangazia Walimu Wastaafu wote katika Mkoa wa Shinyanga kujiunga na "Umoja wa Walimu Wastaafu_Shinyanga.
Upatapo taarifa hii, mjulishe Mwalimu Mstaafu aliye Jirani yako.

Kwa maelezo na maelekezo piga simu namba:
(1) 0674 164 705
(2) 0757 486 861
(3) 0786 744 184

KARIBU SANA.
 
Back
Top Bottom