Leo ndio leo, moro patawaka moto wakati rais dr slaa atakapo kuja kuhutubia wananchi wake pale kwenye uwanja wa fire uliopo masika kuanzia saa 8 mchana.njooni mumuone rais sio msanii.
Aksanteni sana.
Peoples powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr.