Tangazo Tangazo Tangazo

Mpaka mida hii nipo hapa ofisi za chama nasubiria kadi yangu ya uanachama
 
Habari njema kwa watanzania wooooote waliogushi vyeti
Hakikisha unakuwa mwanasiasa kabla hujakamatwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tena wa Ccm ili ulindwe. Uonyeshe tabia zote za kinafiki, kifisadi, kiuwongo, kimafia na kila aina ya tabia inayokulablika kule. Ila usibadili moyo ili utusaidie katika mabadiliko ya kwlei yaisyo na maigizo wala hadaa. Wote nendeni huko mkatufanyie kaiz.
 
Tena wahi mapema nafasi ni chache, ikiwezekana wahi nafasi ya kiti cha pembeni ya mfalme ikimpendeza atakutunukia taji ya ulinzi dhidi ya ukaguzi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]magufuli bhana!
 
Hivi ni mwanasiasa wa chama chochote au ni mwanaccm tu!
Nataka nichukue hatua mapema.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 

Attachments

  • FB_IMG_14934440338926181.jpg
    109.6 KB · Views: 34
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…