Nimefuatilia majibu yako mwanzo mpaka mwisho nataka nikulize swali jingine kwako wewe kama unataka kazi lakini unaogopa kumkufuru mungu kwanini usiache kutafuta kazi badala yake uwe mchangaji au padri ili uweze kumtumikia mungu kwa ukaribu zaidi.
Nimefuatilia majibu yako mwanzo mpaka mwisho nataka nikulize swali jingine kwako wewe kama unataka kazi lakini unaogopa kumkufuru mungu kwanini usiache kutafuta kazi badala yake uwe mchangaji au padri ili uweze kumtumikia mungu kwa ukaribu zaidi.
umesoma kweli hiyo post niliokulink kweli mkuu?