Tangazo unalolipenda

''ah kabla ya kupanda kwenye stage.....!''
ONGEA DEILEE
Then COCA COLA ONJA MSISIMKO
daaa apa diamond kauaa..
''na ili joto dar tupate ya baridi coca...''

Tigo GROUP LA MA X
Then
 
mi napenda tangazo lolote la bia na condom napenda na bidhaa zao pia.
 
Mpoki deileeee na zari hahahaha usinidanganye jamaaa yupo studio noma sana
 
Tangazo bora kuliko yote ni la Haki Elimu, linanza kumuonesha mwalimu akifunga mlango wa nyumba mbavu za mbwa,kisha anakatiza kimtaro na kufika shuleni huku majengo yanauliza nikudondokee au nikusamehe.
 
nalipenda la joti jipya.......... tangazo bovu kuliko yote. Ongea deire
 
Nalipenda la joti yule bibi anavyosema angalia status
 
Nilikuwa nalipenda tangazo moja la vodacom lilikuwa linahusisha jamaa wawili,mmoja anaanza kwa kumuuliza "ebu niambie vodacom ni nini?"jamaa wa pili anajibu ni mtandao wa simu za mkononi...
 
Lipua kabisaa!!..Leta Greda..ha ha...
Mi napenda sana hilo tangazo la Nyati Cement
 
Binafsi kwa sasa napenda tangazo moja la vodacom ongea deilee sijui wewe ni lipi na ambalo silipendi ni la coca cola
chai jaba ni nzuriiii, huhuuuu yenye nguvu,na hudumu maisha yoteeeeeee..chai jabaaaaaa...... daaaah tangazo la kitambo sana hilooo
 
Mimi nalipenda la tigo"express your self".
 
mi sio tangazo bt ni kale kakipande ka east afrika tv ka bajaji inatembea then inageuka inakua mtu then wanamalizia na logo yao, jaman kananichefu, nimekachoka, afu kanakua na sauti kubwa kuliko kawaida. wabadilishe.
 
mi sio tangazo bt ni kale kakipande ka east afrika tv ka bajaji inatembea then inageuka inakua mtu then wanamalizia na logo yao, jaman kananichefu, nimekachoka, afu kanakua na sauti kubwa kuliko kawaida. wabadilishe.
Kumbe na wewe kanakuchefua? Ngoja niongee na Zembwela wakabadilishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…