Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] nikiliona namuteAu la chuo cha Zayoni..[emoji4]
Kamezeekami sio tangazo bt ni kale kakipande ka east afrika tv ka bajaji inatembea then inageuka inakua mtu then wanamalizia na logo yao, jaman kananichefu, nimekachoka, afu kanakua na sauti kubwa kuliko kawaida. wabadilishe.
Bye honeyHivi Zari huwa anaongea nini pale?
Party au Bye?
Hili tangazo la kuhuzunisha sana lakini huwa nacheka sana ile staili dawati lilivyoanguka na wale watoto...yn pamoja na kwamba walikuwa wanaigiza ila wamecheza uhalisia sanaTangazo bora kuliko yote ni la Haki Elimu, linanza kumuonesha mwalimu akifunga mlango wa nyumba mbavu za mbwa,kisha anakatiza kimtaro na kufika shuleni huku majengo yanauliza nikudondokee au nikusamehe.
Hasa pale daktari alipotaka kusema karibu tena...halafu wakaedit kuondoa neno tenasilipendi la SIO KILA HOMA NI MALARIA
Chai jaba miaka hiyo lilitisha sana yan lilifunikachai jaba ni nzuriiii, huhuuuu yenye nguvu,na hudumu maisha yoteeeeeee..chai jabaaaaaa...... daaaah tangazo la kitambo sana hilooo
Kweli, sichoki kulitazama lile tangazo. Linauhalisia mkubwa mno na utafikiri watoto hawakuandaliwa.Hili tangazo la kuhuzunisha sana lakini huwa nacheka sana ile staili dawati lilivyoanguka na wale watoto...yn pamoja na kwamba walikuwa wanaigiza ila wamecheza uhalisia sana
Ufala wa wasanii wa kibongo, tangazo linahusisha familia nzimaa, si ushambaa huu??Hivi Zari huwa anaongea nini pale?
Party au Bye?