TANGAZO! viwanja vinauzwa Nara Dodoma

TANGAZO! viwanja vinauzwa Nara Dodoma

Sheriff Hood

Member
Joined
May 3, 2018
Posts
82
Reaction score
124
Viwanja hivi vimeshapimwa na vina bikoni vipo Jijini Dodoma, wilaya ya Dodoma mjini kata ya Nara karibu kabisa na barabara ya Mwanza
Vina ukubwa kama ifuatavyo

25 x 30 = Tshs 3,500,000
25x56= Tsh 4,000,000
35x75= Tshs 5,000,000

Vipo vingine vyenye ukubwa tofautitofauti (Angalia ramani hapo chini

Kwa maelezo zaidi nicheki Pm
IMG_20180608_090943.jpg
 
Tatzo la Dodoma kumepauka sana na huko nala aisee ni vichaka tupu na vumbi jingi sn. Vp Mamlaka ya Jiji inampango wowote wa kushughulikia tatzo la ujangwa huko mkuu?
 
Viwanja hivi vimeshapimwa na vina bikoni vipo Jijini Dodoma, wilaya ya Dodoma mjini kata ya Nara karibu kabisa na barabara ya Mwanza
Vina ukubwa kama ifuatavyo

25 x 30 = Tshs 3,500,000
25x56= Tsh 4,000,000
35x75= Tshs 5,000,000

Vipo vingine vyenye ukubwa tofautitofauti (Angalia ramani hapo chini

Kwa maelezo zaidi nicheki Pm View attachment 797450

Mkuu hivi viwanja bado vinapatikana? Nilitaka hiki hapa 35x75= Tshs 5,000,000
 
Tatzo la Dodoma kumepauka sana na huko nala aisee ni vichaka tupu na vumbi jingi sn. Vp Mamlaka ya Jiji inampango wowote wa kushughulikia tatzo la ujangwa huko mkuu?
Ndio wanao mpango
01.kila anayejenga anatakiwa kupanda miti kadhaa,ni sheria kabisa
02.kuna programme ya mama samia suluhu ya kijanisha dodoma inaendelea kutekelezwa kqa kupanda miti sehemu tofaut na kuitunza
 
Back
Top Bottom