Sheriff Hood
Member
- May 3, 2018
- 82
- 124
Duh kiwanja cha 20kmΓ20km unataka ujenge nini mzee?20*20 km kipo kwa 1.3m ni pm
Mkuu 20*20 hamna vipo kuanzia 25*30 labda Ngoja nijaribu kuangalia majirani zangu kikipatikana nitakupm20*20 km kipo kwa 1.3m ni pm
Labda anaweka mwavuli tu atakua anaywea ghahawa apoDuh kiwanja cha 20kmΓ20km unataka ujenge nini mzee?
Mwamvuli gani wa kufunika 400sq.km!!!! Km unaifaham mkuu?Labda anaweka mwavuli tu atakua anaywea ghahawa apo
Viwanja hivi vimeshapimwa na vina bikoni vipo Jijini Dodoma, wilaya ya Dodoma mjini kata ya Nara karibu kabisa na barabara ya Mwanza
Vina ukubwa kama ifuatavyo
25 x 30 = Tshs 3,500,000
25x56= Tsh 4,000,000
35x75= Tshs 5,000,000
Vipo vingine vyenye ukubwa tofautitofauti (Angalia ramani hapo chini
Kwa maelezo zaidi nicheki Pm View attachment 797450
Ndio wanao mpangoTatzo la Dodoma kumepauka sana na huko nala aisee ni vichaka tupu na vumbi jingi sn. Vp Mamlaka ya Jiji inampango wowote wa kushughulikia tatzo la ujangwa huko mkuu?
Swali la msingi sana hili.... π βπ½π ππΎhati vinavyo ??