Chuo kipya cha Uchaga kinatangaza kozi zifuatazo:
i) Ubahili miezi 3
ii) Ulevi miezi 3
iii) Kutafuta pesa miezi 6
iv) Kuacha wake vijijini miezi 2
v) Kuendesha pikipiki mwezi 1
vi) Kusogeza mipaka ya shamba la jirani wiki 3
Wahi mapema nafasi ni chache, upendeleo maalum utatolewa kwa wachaga wote ambao hawakuzaliwa na kukulia Moshi.
Annina
Iam Afraid...Something is about to happen here!
ni vizuri ukatanguliza zile sheria za JF, b4 hiyo something about to happen