Tangia nianze kunyoa pack siwezi tena kubadilisha style!

Tangia nianze kunyoa pack siwezi tena kubadilisha style!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,074
Japo vijana wa town tunaita kiduki lkn ndio kina nipendeza zaidi kuliko mwanzo nilivyokuwa nanyoa kawaida, nilijaribu kurudi kunyoa kawaida kila MTU alinishangaa na kuniambia sijapendeza kama nikinyoa pack!
24hours nahakikisha nywele ni safi nyeusi na za kuvutia japo shemela wenu hapendi kuniona navuga nywele lkn bado nakomaa nazo!
Wewe mdau unanyoa style gani?
 
Japo vijana wa town tunaita kiduki lkn ndio kina nipendeza zaidi kuliko mwanzo nilivyokuwa nanyoa kawaida, nilijaribu kurudi kunyoa kawaida kila MTU alinishangaa na kuniambia sijapendeza kama nikinyoa pack!
24hours nahakikisha nywele ni safi nyeusi na za kuvutia japo shemela wenu hapendi kuniona navuga nywele lkn bado nakomaa nazo!
Wewe mdau unanyoa style gani?
Yes
FB_IMG_1551471409568.jpeg
 
Back
Top Bottom