Muda mwingine inafikia hatua mtu unawaza huenda ni hujuma za baadhi ya watengaji wakuu na wanasiasa wanaotaka wananchi waichukie serikali ya sasa na kumkumbuka Hayati Magufuli.
Mama yetu Samia tunakupenda sana lakini Mwenyezi Mungu akujaalie kuwabaini watendaji na wanasiasa wenye HILA NA SERIKALI YAKO.
Mbaya zaidi wananchi hawataarifiwi ipasavyo kuhusu Muda wa katikakatika ya umeme na sababu.
Mama yetu Samia tunakupenda sana lakini Mwenyezi Mungu akujaalie kuwabaini watendaji na wanasiasa wenye HILA NA SERIKALI YAKO.
Mbaya zaidi wananchi hawataarifiwi ipasavyo kuhusu Muda wa katikakatika ya umeme na sababu.