JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Tangu awamu ya pili iingie madarakani nchi hii imekuwa na changamoto mbalimbali za umeme kiasi kwamba umeme umekuwa kama anasa vile kama bia na sigara.
Yani kila siku nchi yetu inafanya juhudi mbalimbali kuhakikisha kwamba anasa hii ya umeme haiwafikii wananchi kwa wakati.
Kila kukicha ni kuboresha miundo mbinu pale mara kuweka nguzo pale ili mradi tu wananchi wakose anasa hii inayowaondolea msongo wa mawazo kama kilevi.
Inasikitisha sana tangu awamu ya pili iingie madarakani 1985 hadi awamu hii ya sita 2021 kila siku tunaboresha miundo mbinu
Yaani mtaa wangu huu huu ninaoishi tangu 1985 hadi leo 2021 kila siku umeme unakatwa kwa kigezo cha kuboresha muundo mbinu kweli miaka 36 muundo mbinu wa mtaa wangu haujaboreka tuu?
Hizi dili zinazopigwa kwa manunuzi ya kuboreshea muundo mbinu wa umeme mtaani kwangu mnazitumia vibaya kama kila siku mnaboresha tu muundo mbinu.
Yani kila siku nchi yetu inafanya juhudi mbalimbali kuhakikisha kwamba anasa hii ya umeme haiwafikii wananchi kwa wakati.
Kila kukicha ni kuboresha miundo mbinu pale mara kuweka nguzo pale ili mradi tu wananchi wakose anasa hii inayowaondolea msongo wa mawazo kama kilevi.
Inasikitisha sana tangu awamu ya pili iingie madarakani 1985 hadi awamu hii ya sita 2021 kila siku tunaboresha miundo mbinu
Yaani mtaa wangu huu huu ninaoishi tangu 1985 hadi leo 2021 kila siku umeme unakatwa kwa kigezo cha kuboresha muundo mbinu kweli miaka 36 muundo mbinu wa mtaa wangu haujaboreka tuu?
Hizi dili zinazopigwa kwa manunuzi ya kuboreshea muundo mbinu wa umeme mtaani kwangu mnazitumia vibaya kama kila siku mnaboresha tu muundo mbinu.