Swali lako linapima hisi za watu, sio uzito wa hoja kitaalamu.naonaje kivipi? mimi sijamuamini nauliza kama kuna ambao mmemuamini
Niliona ni jambo la kufikirisha, kwa kuwa mimi sio tabibu wala mtafiti tiba... Nikaacha kama lilivyo.wewe ulivyopima hoja zake uli-conclude vipi?
nasubiri kwa maoni yako.Uzuri wa uhuru wa maoni na mtazamo ni kwamba kila mtu ana anachokiona kipo sahihi na haki hiyo anayo. Muache Deception amini anachoamini na wewe mkuu kama sisi wengine tuendelee kuwa waangalifu. Mimi binafsi naamini HIV inayopelekea UKIMWI ipo maana nishaona walioteketea sababu ya ugonjwa huu na bado tunawaona.
nashukuru kwa maoni yakoUzuri wa uhuru wa maoni na mtazamo ni kwamba kila mtu ana anachokiona kipo sahihi na haki hiyo anayo. Muache Deception amini anachoamini na wewe mkuu kama sisi wengine tuendelee kuwa waangalifu. Mimi binafsi naamini HIV inayopelekea UKIMWI ipo maana nishaona walioteketea sababu ya ugonjwa huu na bado tunawaona.
Ukimwi haupo vipi wakati wagonjwa waathirika wapo? Vipimo (vitendanishi) vya kubaini " ngoma" vimejaa maabara?Huyu jamaa kwa muda mrefu amekuwa akieleza kuwa hakuna UKIMWI wala HIV bali ni hoax flani hivi iliyoanzishwa na watu ilikupiga hela. Kwa maana wauze ARV ila hakuna cha UKIMWI wala nini.
Hamaanishi kuwa ukimwi umetengenezwa ili wauze dawa bali hakuna hata huo ugonjwa.
Mimi huwa ninachojiulizaga ''ni kweli huyu jamaa yuko tayari kuchukua damu ya mtu ambaye sisi tunaamini ana HIV na viral load ya kutosha tumchome yeye Deception au tumchukue mdada mwenye ngoma halafu apige bila condom?''
kwa kweli mimi simuamini,wenzangu nyie vipi?
kwa nini unahisi yule jamaa alikufa fasta na kl 5 na yule Dem yupo mpaka leo?Kwa Mtazamo Wangu Huyu Deception Nayeye Ni Mpiga Dili Wa ARVs ndiyo Maana Anashawishi Watu Waamini Hakuna Ukimwi ili Wakiukwaa Awauzie Dawa!!
Kuna Bwege Mmoja Hapa Kitaa alimfata Demu Ambaye Ni Mwathirika Na Sote Mtaani Tunajua Hilo! Sasa Huyu Mchizi Alimfana Doctor mmoja Uchwara Akamwambia Yule Mdada Hana Ngoma Bali Ana Typhoid,, Mchizi si Kaamini Kuwa Hana Ngoma Akenda Akagonga Mzigo!!!
Tulimzika Mchizi Fasta na Kilo Zake 5kg, Demu mpaka leo Adadunda Kitaa.
Sasa Huyu Deception Sijui Ataniambia Nini Wakati Nimewashuhudia Face-to-face Victims Wanakufa Kwa Kwa Ngima.
Mimi nimemuelewa sana.. Nachukua tahadhari ila suala la kwenda kwenda kupima halipo kichwani mwangu, siji kufanya tena huo ujinga!!Huyu jamaa kwa muda mrefu amekuwa akieleza kuwa hakuna UKIMWI wala HIV bali ni hoax flani hivi iliyoanzishwa na watu ilikupiga hela. Kwa maana wauze ARV ila hakuna cha UKIMWI wala nini.
Hamaanishi kuwa ukimwi umetengenezwa ili wauze dawa bali hakuna hata huo ugonjwa.
Mimi huwa ninachojiulizaga ''ni kweli huyu jamaa yuko tayari kuchukua damu ya mtu ambaye sisi tunaamini ana HIV na viral load ya kutosha tumchome yeye Deception au tumchukue mdada mwenye ngoma halafu apige bila condom?''
kwa kweli mimi simuamini,wenzangu nyie vipi?
Kweni kupiga bila kondom ndo kupata HIV?Huyu jamaa kwa muda mrefu amekuwa akieleza kuwa hakuna UKIMWI wala HIV bali ni hoax flani hivi iliyoanzishwa na watu ilikupiga hela. Kwa maana wauze ARV ila hakuna cha UKIMWI wala nini.
Hamaanishi kuwa ukimwi umetengenezwa ili wauze dawa bali hakuna hata huo ugonjwa.
Mimi huwa ninachojiulizaga ''ni kweli huyu jamaa yuko tayari kuchukua damu ya mtu ambaye sisi tunaamini ana HIV na viral load ya kutosha tumchome yeye Deception au tumchukue mdada mwenye ngoma halafu apige bila condom?''
kwa kweli mimi simuamini,wenzangu nyie vipi?