Tangu hotuba ya Magufuli Chato mbele ya wakuu wa Vyombo vya Dola msitegemee kutangaziwa wagonjwa wapya wa COVID 19

Yetu masikio , ila masikio pasi uzima hayawezi kusikia
 
Baada ya waziri Ummy kutangaza kuwa wagonjwa 37 wamepona na 71 kupimwa kwa mara ya mwisho, kesho hao 71 nao huenda watatangazwa ili kutimiza idadi ya 108 ambayo ni zaidi ya 100 kama alivyotutangazia rais wetu mpendwa.

ENDELEA KUJILINDA DHIDI YA CORONA.
 
Dish la jamaa limekaa vibaya. Ataua sana watu, uzuri haogopi damu za watu . Kama lisu alikuwa shaba kibao na jamaa yupo kma nothing happened, sembuse hii.
But; hapa Tanzania kuna chuo kipi kinafundisha roho mbaya? Sio bure hii
Uzezeta wa watanzania ndo unampa kiburi,Ila Kama tunaweza kuonesha siku moja kwa sisi si wa kuchukulia poa,heshima itatamalaki going forward
 
Licha ya kuufafanua lakini kwangu Mimi naurudiarudia.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usisahau ule usemi usemao Mficha maradhi kifo humuumbua. Wataumbuka wengi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Saturday and Sunday is Corona news lockdown?
 


USHAURI WA NCHEMBA UMEZINGATIWA?
 
Jana Hosp ya Amana wameletwa Manesi nane / Hapa Amana kuna ndugu Yangu , amelazwa kwa corona lakini Huduma nimbovu na za ovyo/ Wagonjwa wa Cov 19 ndo wanatoa maiti nje ya wodi nakuosogeza Nje / Pia maiti inaweza kukaa hadi siku 3 bila kupelekwa Mortuary / Hakina Piere Liquid ndo wanapanda kwenye miti nakuchuma mualubaini na kujifukiza.

To be honest kama huko na Mgonjwa wako kumpeleka Amana at this moment nibora umtengee sehemu yake private then umuhudumie kuliko Amana.

kama nikiruhusiwa ntapost video kutoka Amana soon.
 
Post chief nakupa ya soda au bia weekend hii
 
Noted mkuu.
Acha tujilinde
 
Tujikinge kama tunavyoelekezwa na wataalamu wa afya.Lakini pia tumuombe Mungu sana atukinge na ugonjwa huu hatari.
 

Utaambiwa kuwa wewe ni mzushi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…