Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #41
Yetu masikio , ila masikio pasi uzima hayawezi kusikiaHabari ni nyingi, maiti ya ndugu yake mbunge Arumeru inasemekana ilihifadhiwa mahali pamoja na maiti nyinginezo mbili zilizokutwa na maambukizi, automatically ikawabidi ku cease maiti zote zilizokuwepo kwa hofu ya contamination.
Tatizo huu ugonjwa umetufanya tusahau kwamba kuna magonjwa mengine mengi watu tunatembea nayo na zaidi ya yote, watu wamekuwa wakifariki siku zote.
Baada ya waziri Ummy kutangaza kuwa wagonjwa 37 wamepona na 71 kupimwa kwa mara ya mwisho, kesho hao 71 nao huenda watatangazwa ili kutimiza idadi ya 108 ambayo ni zaidi ya 100 kama alivyotutangazia rais wetu mpendwa.Kuna siku niliandika Uzi kama Tetesi nikisema kuwa Tanzania hakuna lockdown mkaufuta licha ya kutoa sababu. The same day jioni yake mkuu akasema yale niliyoyasema, sijui aliyefuta alijisikiaje.
Sasa ni wazi kuwa takwimu halisi za wagonjwa wa COVID 19 hamtapewa, mkipewa mjue kuwa zimechakachuliwa.
Sasa ni mwendo wa bata na vifaranga wake, kila mmoja ajilinde.
Ukicheza na ukajawa na amani wakati huu wa hatari ukasahau kujilinda unakwenda
Uzezeta wa watanzania ndo unampa kiburi,Ila Kama tunaweza kuonesha siku moja kwa sisi si wa kuchukulia poa,heshima itatamalaki going forwardDish la jamaa limekaa vibaya. Ataua sana watu, uzuri haogopi damu za watu . Kama lisu alikuwa shaba kibao na jamaa yupo kma nothing happened, sembuse hii.
But; hapa Tanzania kuna chuo kipi kinafundisha roho mbaya? Sio bure hii
Msemo huo ulikuwa unatupa wakati mgumu kuuelewa tukiwa form one! Kuna mwalimu wa Kihindi sliyr kuwa anafundisha Kingereza, siku moja katujia ni msemo huo - hakuna mwanafunzi aliye mwelewa na ukiongezea lafudhi yake ya Kihindi anapo tamka maneno ya kingereza ndio ika- complicate mambo zaidi
Mwishowe akatupa mifano akaserma hivi "Suppose anatokea mtu mwongo akawambia kwamba Soko la mjini Bukoba limepigwa radi na watu wengi kupoteza maisha,sasa mkimtuma mtu mwaminifu kwenda kuhakiki kama habsti hizo mbaya ni za kweli au la, akirudi anatabasamu akamuhoji "no news?" akijibu "Yes" unamjibu “is good news" kwa maneno mengine kama hakuna taarifa/habari mbaya basi huyi hiyo ni habari njema/yenye kheri.
Sawa, lakini unachukuaje tahadhari peke yako?Dawa hapa ni kuchukua tu tahadhari
Dah ...Sawa, lakini unachukuaje tahadhari peke yako?
Janga hili linataka tahadhari ya pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usisahau ule usemi usemao Mficha maradhi kifo humuumbua. Wataumbuka wengi tu.Wakuu huu sio utani watu wanakufa sana na corona.
Nina rafiki zangu wengi wanatujuza maswahibu yayowakuta yatokanayo na corona lakini hakuna wa kutangaza.
Mbunge wa Arumeru mashariki mdogo wake kafariki kwa corona na familia iko karantini.
Arusha central police kuna askari kadondoka kazini kwa matatizo ya corona na sasa usipovaa mask huingii kuhudumiwa, haitangazwi.
Matukio ni mengi mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Saturday and Sunday is Corona news lockdown?Mkuu Bukyanagandi, kila nikilisoma jina lako, namkumbuka Namajeje wa Bukyanagandi.
Last news ya Corona kwa Tanzania ni last Friday, no new case, no new death na watu wanapona!.
Saturday na leo Sunday there will be no news!.
Kwavile last news was good news, and now no news is good news, lets enjoy our weekend, tusubirie news za Monday.
Formula ya no news is good news ni ile ile ya " mtaka nyingi nasaba, hupata mwingi msiba!"
P
Kuna siku niliandika Uzi kama Tetesi nikisema kuwa Tanzania hakuna lockdown mkaufuta licha ya kutoa sababu. The same day jioni yake mkuu akasema yale niliyoyasema, sijui aliyefuta alijisikiaje.
Sasa ni wazi kuwa takwimu halisi za wagonjwa wa COVID 19 hamtapewa, mkipewa mjue kuwa zimechakachuliwa.
Sasa ni mwendo wa bata na vifaranga wake, kila mmoja ajilinde.
Ukicheza na ukajawa na amani wakati huu wa hatari ukasahau kujilinda unakwenda
Post chief nakupa ya soda au bia weekend hiiJana Hosp ya Amana wameletwa Manesi nane / Hapa Amana kuna ndugu Yangu , amelazwa kwa corona lakini Huduma nimbovu na za ovyo/ Wagonjwa wa Cov 19 ndo wanatoa maiti nje ya wodi nakuosogeza Nje / Pia maiti inaweza kukaa hadi siku 3 bila kupelekwa Mortuary / Hakina Piere Liquid ndo wanapanda kwenye miti nakuchuma mualubaini na kujifukiza.
To be honest kama huko na Mgonjwa wako kumpeleka Amana at this moment nibora umtengee sehemu yake private then umuhudumie kuliko Amana.
kama nikiruhusiwa ntapost video kutoka Amana soon.
Noted mkuu.Kuna siku niliandika Uzi kama Tetesi nikisema kuwa Tanzania hakuna lockdown mkaufuta licha ya kutoa sababu. The same day jioni yake mkuu akasema yale niliyoyasema, sijui aliyefuta alijisikiaje.
Sasa ni wazi kuwa takwimu halisi za wagonjwa wa COVID 19 hamtapewa, mkipewa mjue kuwa zimechakachuliwa.
Sasa ni mwendo wa bata na vifaranga wake, kila mmoja ajilinde.
Ukicheza na ukajawa na amani wakati huu wa hatari ukasahau kujilinda unakwenda
Wakuu huu sio utani watu wanakufa sana na corona.
Nina rafiki zangu wengi wanatujuza maswahibu yayowakuta yatokanayo na corona lakini hakuna wa kutangaza.
Mbunge wa Arumeru mashariki mdogo wake kafariki kwa corona na familia iko karantini.
Arusha central police kuna askari kadondoka kazini kwa matatizo ya corona na sasa usipovaa mask huingii kuhudumiwa, haitangazwi.
Matukio ni mengi mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina woga wa kuogopa kupingwa kwenye ukweliUtaambiwa kuwa wewe ni mzushi.