Tangu mashindano ya CAF yaanze, leo ndio nimeshuhudia mpira mbovu kutoka kwa vibonde wa Raja Casablanca

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,282
Reaction score
6,303
Ndugu zangu mpira ni mchezo wa wazi sana. Vipers na simba kwa pamoja walipigwa 8 mtungo na Raja Casablanca.

Hiyo inaonesha kabisa hawa ndio viazi wa kundi na ni vibonde haswaa maana mmoja alipasuliwa 3 kavu akiwa nyumbani.

Tuachane na hayo kusema ukweli mechi ya hawa vibonde ndio mechi mbovu kuwahi kuchezwa kwenye mashindano ya CAF tangu dunia iumbwe full stop.
 
Hadi inonga kafunga butua butua itoshe kusema vibonde 1:0 vibonde pro
 
Mnaongea sana. Angalia ile Horoya mliyosema mbovu anavyopambana huko Casablanca. Mnadhani rede hii.
 
Mleta Uzi pole walikosea wakakuwekea drip ya ku induce labour. Vumilia huo uchungu
 
Unajifunguliq humu au st mary stadium sio kwq uchungu huo
 
Reactions: BRN
Mnaongea sana. Angalia ile Horoya mliyosema mbovu anavyopambana huko Casablanca. Mnadhani rede hii.
Horoya sio vibonde wenzenu shehe.. ndio maana waliwala kimoja cha nguruwe na wanauwezo wakuwala tena mkizembea maana nyie ni vibonde.
 
Uchungu zaidi unaupata hasa unapoona gari la simba limewaka huku la utopolo likiendeleza aibu ya ugenini keaho
 
Reactions: BRN
Pole kijana, matokeo yamekuumiza hadi umeanzisha uzi kifala 🤣🤣🤣
 
Kama kushinda away ni rahisi kashinde away Kwa Bamako kesho kwenye kombe la losers wa champions league,Kisha urudi hapa kutuandikia ugoro
 
Usiku wa deni haukawii..
Bamako Wana Jambo Lao
Na Utopolo[emoji196][emoji196] apo badae..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…