King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Labda ni jina tu la ubunifu
Yap wimbo Mzuri sana,qchilla amerudi tena na For you,kumbe John kaboko ni bilionea wa arusha?Huyu jamaa ana kipaji sana umenikumbusha huo wimbo naupenda sana!
Speaking of John koboko pengine kweli ni tajiri lakini hasikiki kama ambavyo Arusha kuna mabillionaire wengi ambao husikika na kujulikana na kuitwa mabillionaire wanapo kufa!
Sijui kwanini q chillar huyu kwenye hii nyimbo simuoni tena!
am on my way through kweny thread ya mzee ojwang..karibun tukatoe R.I.Ps zetu..?!
Mkuu una ngumi za chembe kali,hiyo lazima ukae.Kwani R.I.Ps ni kama kura, kusema kwamba mtu akizipata nyingi ndio kigezo cha kuingia peponi?(Just thinking) Btw R.I.P babu OJWANG.
kwakua kutoa R.I.P in moyo,basi the more unamtakia marehemu rip(s),the more,God's will around him..?!otherwise:amani iwe nawe.....