Tangu msimu wa 2015/2016 Simba na Yanga Mechi huisha kwa sare Mechi za round ya Kwanza.

Tangu msimu wa 2015/2016 Simba na Yanga Mechi huisha kwa sare Mechi za round ya Kwanza.

Mwee

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
246
Reaction score
617
Huu ni msimu wa nane Simba na Yanga hakuna anayeibuka na ushindi duru ya Kwanza tangu msimu tajwa. Pengine Msimu huu mwiko huo unaweza kuvunjwa wacha tusubiri hiyo Jumapili ya Novemba 5 kama kuna timu itaibuka na ushindi. Mara zote mechi hiyo huisha kwa sare ama suluhu hata kama timu mojawapo ina kikosi kikali. Kwa msimu huu inaonekana vikosi vya timu zote viko sawa sawa.

Je ni Simba au Yanga kuibuka kidedea au bado mzimu wa sare utaendelea? Muda utasema
 
Weka dau pale m_bet,simba ananyoa mtu. Simba yuko mawindoni kurudisha ubingwa msimbazi
 
Back
Top Bottom