Tangu mwanzo serikali ya CCM haikuwa na dhamira ya katiba mpya na haitakuwa nayo milele

Tangu mwanzo serikali ya CCM haikuwa na dhamira ya katiba mpya na haitakuwa nayo milele

UFUNUO WA TANZANIA

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
471
Reaction score
166
Ninasikitiswa sana na harakati Za CCM kuchakachua mchakato wa katika katika kila ngazi tangu mchakato huu uanze. Kinachoniumiza zaidi ni fedha zetu ambazo zimekuwa zikiteketezwa kila uchwao huku hamna dhamira ya dhati ya kukamilisha mchakato huu . Kwani Kama CCM wangekataa kuanzisha kwa hira mchakato huu fedha nyingi zilizotumika hadi sasa si zingetumika katika shughuli nyingine Za msingi Za kimaendeleo. Amin Amin nawaambia sitakubali fedha nyingi hivi zimetumika, ndugu zangu wanakufa kwa kukosa huduma Za tiba na serikali ya CCM inatuchezea watanzania. Nitapambana kadri ya uwezo wangu hata Kama ni kwa mapinduzi kuhakikisha udhalimu huu hauendelei kutokea nikiwa hai. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Tanganyika na Mungu ibariki Zanzibar
 
Acha kelele mkuu katiba mpya inakuja amini usiamini huo ndiyo ukweli hutaki unaacha.
 
Duh!,punguza jaziba bro!!
Mambo mazuri hayataki haraka,mchakato huu ni mzito unaitaji muda na umakini usio na lawama hebu tuwe wavumilivu jamaa wafanye kazi itakayo dumu zaidi ya miaka 50.ushapanic bro!
 
Ninasikitiswa sana na harakati Za CCM kuchakachua mchakato wa katika katika kila ngazi tangu mchakato huu uanze. Kinachoniumiza zaidi ni fedha zetu ambazo zimekuwa zikiteketezwa kila uchwao huku hamna dhamira ya dhati ya kukamilisha mchakato huu . Kwani Kama CCM wangekataa kuanzisha kwa hira mchakato huu fedha nyingi zilizotumika hadi sasa si zingetumika katika shughuli nyingine Za msingi Za kimaendeleo. Amin Amin nawaambia sitakubali fedha nyingi hivi zimetumika, ndugu zangu wanakufa kwa kukosa huduma Za tiba na serikali ya CCM inatuchezea watanzania. Nitapambana kadri ya uwezo wangu hata Kama ni kwa mapinduzi kuhakikisha udhalimu huu hauendelei kutokea nikiwa hai. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Tanganyika na Mungu ibariki Zanzibar
Unahitaji msaada wa kitalamu kwenye ubongo wako naona unawaza vitu ambavyo havina mwelekeo kabisa.
 
Yote hayo ni kwa sbb ,wwwwwwwwwwwwwwww wwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwwww
 
Acha kelele mkuu katiba mpya inakuja amini usiamini huo ndiyo ukweli hutaki unaacha.

sijui umeajiriwa na ccm kujibu hoja,maana hata muda wa kufanya kazi sidhan kama unao,kutwa jf fanyakazi humu hulipwi,tumekuchoka kama huna kazi sema tukutafutie ------- wewe usikua na kazi.
 
Ninasikitiswa sana na harakati Za CCM kuchakachua mchakato wa katika katika kila ngazi tangu mchakato huu uanze. Kinachoniumiza zaidi ni fedha zetu ambazo zimekuwa zikiteketezwa kila uchwao huku hamna dhamira ya dhati ya kukamilisha mchakato huu . Kwani Kama CCM wangekataa kuanzisha kwa hira mchakato huu fedha nyingi zilizotumika hadi sasa si zingetumika katika shughuli nyingine Za msingi Za kimaendeleo. Amin Amin nawaambia sitakubali fedha nyingi hivi zimetumika, ndugu zangu wanakufa kwa kukosa huduma Za tiba na serikali ya CCM inatuchezea watanzania. Nitapambana kadri ya uwezo wangu hata Kama ni kwa mapinduzi kuhakikisha udhalimu huu hauendelei kutokea nikiwa hai. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Tanganyika na Mungu ibariki Zanzibar

wewe ni mgonjwa wa maini ....kwan aliyetoa maamuzi ya mchakato huu ni chadomo au mbowe? acheni utoto CCM ndio chama ambacho kinakufanya wewe na hao wajinga wenzio kina lema muonekane.......STUPID!
 
Abuse of power and assault of freedom of the masses results to entropy!
 
wewe ni mgonjwa wa maini ....kwan aliyetoa maamuzi ya mchakato huu ni chadomo au mbowe? acheni utoto CCM ndio chama ambacho kinakufanya wewe na hao wajinga wenzio kina lema muonekane.......STUPID!

Akili za kushikiwa hizi, rudi kachukue akili yako pale Lumumba uje uchangie hoja!
 
Back
Top Bottom