samahani kinena ni nini?
Umeniwahi. Ni wapi?
Habari wadau , mke wangu anasumbuliwa na maumivu ya mishipa ya kinena tangu alipojifungua je tatizo ni nini wadau manake kila Mara asubuhi ya alfajiri inamsumbua
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
samahani kinena ni nini?
Kinena ni UKE au kwa lugha ya MUJINI ni K. Mkuu umeshajaribu kuwaona wataalamu wa magonjwa ya kina mama ili wawasaidie wewe na mkeo kutibu hali hii? Poleni sana.