Nauliza kama alivyowahi uliza makongoro kwenye hotuba yake ya kutangaza nia akiwa butiama 😀😀😀😀😀Mbona hasira mdau
Kama hujajiandaa usiache kazi....utaaibika! Mtaani pia ni pagumu sana maana ujiandae pia kupoteza washkaji kibao!
Beberu wako akakuruhusu umpige????,,,najiuliza ulimpiga pigaje????,,,alikua wakike au wakiume maana beberu ni beberu tu, ninahisi alikua wa kiume na bila shaka ulizibua mtaro akakulipa parefu ndo maana hutaki kazi,
Me nikajua umefanikiwa kupata mferji wa asali we ni kukinga tu. Kumbe hupendi kabisa kufanya kazi.
Pole sana inaonekana bado hujaonja utamu wa kufanya kazi unayoipenda na kuifurahia.
Ni kweli kabisa kuwa mimi ni Abunwasi lakini wewe ni BulichekaUmechangia bila kusoma uzi, kama umesoma hujaelewa wewe Abunwasi.... hilo tu ndo la kukusamehe.