Tangu nizaliwe sijawahi kusikia Yanga inacheza makundi Club Bingwa Afrika

Aliyewahi tupeni data, ukiwasikia utafikiri ni club kubwa Afrika, kumbe hata makundi Club Bingwa hawajawahi kufika

Simba ndo club kubwa ukanda wa Cecafa wengine ni underdog tukutane CAF Superleague
1998
 
Aliyewahi tupeni data, ukiwasikia utafikiri ni club kubwa Afrika, kumbe hata makundi Club Bingwa hawajawahi kufika

Simba ndo club kubwa ukanda wa Cecafa wengine ni underdog tukutane CAF Superleague
Punguza wivu.
 
Aliyewahi tupeni data, ukiwasikia utafikiri ni club kubwa Afrika, kumbe hata makundi Club Bingwa hawajawahi kufika

Simba ndo club kubwa ukanda wa Cecafa wengine ni underdog tukutane CAF Superleague
Utakuwa ni mdogo sana.Mwaka 1998 robo finally zilikuwa timu 8 zilikuwa zinagawanywa makundi 2.Timu mbili za juu zinacheza nusu fainali na washindi wa hizo mechi home and away zinacheza finally.Yanga alicheza robo finally,alikuwa na Raja Casablanca na wengineo.Wachezaji wa Yanga nakumbuka,Shaaban Ramadan,Ken Mkapa,Monja Lisek na wengineo.
 
Aliyewahi tupeni data, ukiwasikia utafikiri ni club kubwa Afrika, kumbe hata makundi Club Bingwa hawajawahi kufika

Simba ndo club kubwa ukanda wa Cecafa wengine ni underdog tukutane CAF Superleague
Iwe kweli au siyo kweli

Haufuti kuwa mmefurushwa nje ya CAF CL
 
Aliyewahi tupeni data, ukiwasikia utafikiri ni club kubwa Afrika, kumbe hata makundi Club Bingwa hawajawahi kufika

Simba ndo club kubwa ukanda wa Cecafa wengine ni underdog tukutane CAF Superleague
Nyie wanyoa VIDUKU na kuvaa vinjunga mbele ya mama zenu mnashida sana watoto wa 2000 kuja juu
Hamjui kitu zaid ya pombe, mziki na pool table jumlisha ku beat
 
Tukumbushe mkuu alichezea ngapi..,
 
Kumbe nikiwa na miaka 3,nikadhani nikiwa nimevunja ungo
Ndio Manisha.
Wenzako wengine walikuwa hawajazaliwa, wengine wameshavunja huo UNGO, wengine sio ungo tu mpaka CHUPA walikuwa wameshavunja.
 
Nenda kapike binti achana na mambo ya soka.
Hongereni roborobo fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…