Tangu Pogba na Diallo kuilaani Israel hadharani mambo yao yamewaendea vibaya sana

Tangu Pogba na Diallo kuilaani Israel hadharani mambo yao yamewaendea vibaya sana

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Yeeerrreeehhh!

May 2021 Hamas walianza uchokozi walirusha makombora mengi sana kwenye anga teule la Israel.

Israel ikajibu kwa kuwashushia vitu vizito sana vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka na wanaosalia kubaki kulialia hovyohovyo ooh wateule wanaua wanawake na watoto.

Baadaye watu wakaanza kuandamana na kuilaani taifa teule ambapo hawajui ukiilaani Israel na wewe pia unalaaniwa naam ukiibariki faster utaendelea kubarikiwa.

Wakati huo Paul Pogba na huyu dogo muaivorikost Amad Diallo walikuwa wanaichezea Manchester united baada ya mechi wakabaki pekee yao uwanjani wakati wenzao walishatangulia changing room wakiiperusha bendera ya kigaidi ya Palestine huku wakilaani taifa teule.

Watu walikuja juu na kukasirika kwasababu sheria za FIFA haziruhusu mambo ya kisiasa na sifa za kijinga kama hizi.

Cha kushangaza kocha wa Mani wakati huo Solskjaer hakulaani kitendo hicho bali aliwaunga mkono na kuwalinda naye laana ikamfuata akafukuzwa.

Sasa mnajuwa kilichowatokea Pogba sasa hivi hana muelekeo kafungiwa kwa kutafuna madawa ya kulevya. Asikilizani na ndugu zake.

Huyu dogo Diallo kiwango chake cha mpira kimeshuka kako benchi tu huko kanaozea. Kwisha kabisa.

Yote haya ni laana.

Ukiilaani Israel utalaaniwa naam ukiibariki Israel utabarikiwa.

images.jpeg



Nyau de adriz
 
Yeeerrreeehhh!

May 2021 Hamas walianza uchokozi walirusha makombora mengi sana kwenye anga teule la Israel.

Israel ikajibu kwa kuwashushia vitu vizito sana vyenye ncha butu vikigusa ardhi vinalipuka na wanaosalia kubaki kulialia hovyohovyo ooh wateule wanaua wanawake na watoto.

Baadaye watu wakaanza kuandamana na kuilaani taifa teule ambapo hawajui ukiilaani Israel na wewe pia unalaaniwa naam ukiibariki faster utaendelea kubarikiwa.

Wakati huo Paul Pogba na huyu dogo muaivorikost Amad Diallo walikuwa wanaichezea Manchester united baada ya mechi wakabaki pekee yao uwanjani wakati wenzao walishatangulia changing room wakiiperusha bendera ya kigaidi ya Palestine huku wakilaani taifa teule.

Watu walikuja juu na kukasirika kwasababu sheria za FIFA haziruhusu mambo ya kisiasa na sifa za kijinga kama hizi.

Cha kushangaza kocha wa Mani wakati huo Solskjaer hakulaani kitendo hicho bali aliwaunga mkono na kuwalinda naye laana ikamfuata akafukuzwa.

Sasa mnajuwa kilichowatokea Pogba sasa hivi hana muelekeo kafungiwa kwa kutafuna madawa ya kulevya. Asikilizani na ndugu zake.

Huyu dogo Diallo kiwango chake cha mpira kimeshuka kako benchi tu huko kanaozea. Kwisha kabisa.

Yote haya ni laana.

Ukiilaani Israel utalaaniwa naam ukiibariki Israel utabarikiwa.

View attachment 3142717


Nyau de adriz
Sasa wewe mtoa mada uliyoibariki israel unaweza kushindana kwa lolote na pogba? Labda utamzidi ulevi tu
Maana kwanza ukiacha yote mungu ni muaminifu pogba kuanzia mwakani anaingia tena uwanjani, muachage ujinga, mungu ni mmoja na ni wa wote, toeni hizo imani za kitumwa kichwani
 
Wangefanya hivyo kama wangekuwa wanacheza qatar, hata saudia hawapendi uchuro huo, ligi za ulaya ukionesha unaipepelea palestina wanakuangalia tu ila hakuna rangi utaacha kuona
 
We jamaa box kweli. Ww mbona baraka zako hatuzioni
 
Ibrahim baba wa imani wakati akijiweka mbali na uchawi,unafiki,uongo na ibada ya kuabu sanamu,babu wengine walikuwa wanashindana na uchawi na ushetani..naunga mkono andiko la biblia, alaaniwe atakaye laani Israel na abarikiwe atakaye ibariki Israel...Binafsi naibariki Israel.
 
Back
Top Bottom