Habari wanajf na wataalamu wa magari, kuna kitu kimoja kinanitatiza sana na kwa utaalaku wangu wote sijui effect yake ni nini.
- Ni nini kitatokea endapo kipande cha mbao au plastic kikaingia kwenye tank kwa bahati mbaya wakati wa kuweka mafuta kwenye tank. msaada tafadhali.......!
............Natanguliza shukrani..............